leo
๐จKlabu ya @KaizerChiefs imemuweka sokoni kiungo wake mkabaji Anthony Akumu Agay ๐ฐ๐ช Akumu alijiunga na Kaizer chiefs akitokea Zesco United ๐ฟ๐ฒ, Kiungo huyo kafunga mabao 2 katika mechi 47 alizocheza na miamba hiyo ya Afrika kusini.