kumsajili striker Lazalous kambole (
Vyanzo vya kuaminika nchini Afrika ya kusini vimeripoti kua klabu ya @YoungAfricansSC imefikia makubaliano ya kumsajili striker Lazalous kambole (28)πΏπ² aliye achwa na klabu ya @KaizerChiefsCFπΏπ¦. Kambole alisajiliwa na kaizer mwaka 2019 akitokea Zesco United πΏπ²
Comments
Post a Comment